Saturday, March 19, 2016

MATUKIO KATIKA PICHA YA MAHAFALI YA 27 YA CHUO KIKUU CHA AFRICA GRADUATE UNIVERSITY ARUSHA

Picha zimetolewa na Gospel Kitaaa. Mungu aibariki team ya Gospel Kitaa kwa kazi nzuri


Ni mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu cha Afrika (Afrika Graduate University) tokea kuanza kwake, ambapo watumishi 17 kutoka maeneo mbalimbali wametambulika na mchango wao kutambuliwa, na hatimaye kutunukiwa shahada (shahada ya kwanza, ya uzamili, na uzamivu) katika tasnia ya uenezaji wa injili.

Tukio hili la kihistoria ambalo limefanyika Jijini Arusha, limetolewa na Chuo Kikuu cha Serikali ya Sierra Leone, ambacho huangalia mchango ambao mtu amefanya kwenye jamii, tofauti na desturi ya wengi kuongea baada ya mtu kutangulia mbele.
Gospel Kitaa ilipiga kambi, na inakuletea picha za awali kama ifuatavyo.




wahitimu wakiingia

Katibu wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania, Stella Joel



Cinematographers kazini

MC wa shughuli, Mchungaji Lucy Wilson

No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/